Breaking News

Diamond, Nay wa Mitego na Alaine wa Jamaica waingia studio kutayarisha wimbo


Haijulikani ni nani amemshirikisha nani lakini kuna uwezekano mkubwa Alaine amemshirikisha Diamond.
Nay wa Mitego ameshare picha Instagram akiwa studio na Diamond, Alaine, Tudy Thomas, meneja wa Diamond, Sallam na wengine.
Alaine amekuja Afrika Mashariki wiki iliyopita na anatarajiwa kuzindua album yake mpya nchini Kenya.
Hii ni mara ya pili muimbaji huyo anakuja nchini. Mwaka 2013 alikuja kwenye Fiesta ya Dar es Salaam.

No comments

Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!