Breaking News

TETESI: ZLATAN IBRAHIMOVIC KUTUA OLD TRAFFORD KAMA KOCHA MSAIDIZI WA MOURINHO

Nyota huyo wa kimataifa wa Sweden ataondoka Paris Saint-Germain kwenda Manchester United ili kuwa kocha msaidizi wa Jose Mourinho Zlatan Ibrahimovic yupo mbioni kutua Manchester United kuwa kocha msaidizi wa Jose Mourinho anayetarajiwa kuwa meneja wa klabu hiyo kwa mujibu wa chanzo cha Sweden Aftonbladet.

 Mchezaji huyo wa kimataifa wa Sweden ataondoka Paris Saint-Germain majira haya ya joto na Manchester United ndio wanaopewa nafasi kubwa kuipata saini yake. Kama habari hizi ni za kuaminika Ibrahimovic atakuwa moja ya wakufunzi katika benchi la ufundi litakalokuwa chini ya Jose Mourinho.

No comments

Subscribe Via Email

Subscribe to our newsletter to get the latest updates to your inbox. ;-)

Your email address is safe with us!